Mathayo 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.” Marko 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho ninakunywa, au kubatizwa kwa ubatizo ninaobatizwa?”+ Yohana 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sasa nafsi yangu inataabika,+ nami nitasema nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.
22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.”
38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho ninakunywa, au kubatizwa kwa ubatizo ninaobatizwa?”+
27 Sasa nafsi yangu inataabika,+ nami nitasema nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.