Mathayo 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.” Luka 12:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa kweli, nina ubatizo wa kubatizwa, na jinsi ninavyotaabika mpaka umalizike!+ Yohana 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Tia upanga ndani ya ala yake.+ Kikombe ambacho Baba amenipa, je, sipaswi kukinywa?”+ Waroma 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Au je, hamjui kwamba sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu+ tulibatizwa katika kifo chake?+
22 Yesu akamjibu, akasema: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe+ ambacho niko karibu kunywa?” Wakamwambia: “Tunaweza.”
11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Tia upanga ndani ya ala yake.+ Kikombe ambacho Baba amenipa, je, sipaswi kukinywa?”+