Marko 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho ninakunywa, au kubatizwa kwa ubatizo ninaobatizwa?”+ 1 Wakorintho 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kama sivyo, watafanya nini wale wanaobatizwa kwa kusudi la kuwa wafu?+ Ikiwa wafu hawatafufuliwa kamwe,+ kwa nini pia wanabatizwa+ kwa kusudi la kuwa hivyo?
38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho ninakunywa, au kubatizwa kwa ubatizo ninaobatizwa?”+
29 Kama sivyo, watafanya nini wale wanaobatizwa kwa kusudi la kuwa wafu?+ Ikiwa wafu hawatafufuliwa kamwe,+ kwa nini pia wanabatizwa+ kwa kusudi la kuwa hivyo?