Ayubu 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Uso wangu umekuwa mwekundu kwa sababu ya kulia,+Na kuna kivuli kizito juu ya kope zangu,+ Zaburi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+ Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+
7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+
9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+