Zaburi 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimechoshwa na kuugua kwangu;+Usiku kucha nafanya kitanda changu kilowane;+Kwa machozi yangu nafanya kitanda changu kifurike.+ Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+ Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
6 Nimechoshwa na kuugua kwangu;+Usiku kucha nafanya kitanda changu kilowane;+Kwa machozi yangu nafanya kitanda changu kifurike.+
9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+
16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+