Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Kwa nini nimewaona wakiwa wameingiwa na hofu? Wanarudi nyuma, na wanaume wao wenye nguvu wamevunjwa vipande-vipande; nao hakika wamekimbia, wala hawakugeuka.+ Kuna hofu pande zote,’+ asema Yehova.

  • Amosi 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nilimwona Yehova akiwa juu ya madhabahu,+ naye akasema: “Kipige kichwa cha nguzo, ili vizingiti vitikisike. Na uvikate vyote kichwani.+ Na sehemu yao ya mwisho nitaua kwa upanga. Hakuna yeyote kati yao anayekimbia atakayefanikiwa kukimbia, na hakuna yeyote kati yao anayeponyoka ambaye atafanikiwa kutoroka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki