- 
	                        
            
            Amosi 9:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
9 Nilimwona Yehova akiwa juu ya madhabahu,+ naye akasema: “Kipige kichwa cha nguzo, ili vizingiti vitikisike. Na uvikate vyote kichwani.+ Na sehemu yao ya mwisho nitaua kwa upanga. Hakuna yeyote kati yao anayekimbia atakayefanikiwa kukimbia, na hakuna yeyote kati yao anayeponyoka ambaye atafanikiwa kutoroka.+
 
 -