9 Nilimwona Yehova+ akiwa juu ya madhabahu, naye akasema: “Piga kichwa cha nguzo, na vizingiti vitatikisika. Kata vichwa vya nguzo, nami nitamuua wa mwisho kwa upanga. Hakuna yeyote anayekimbia atakayeponyoka, na hakuna yeyote anayejaribu kutoroka atakayefanikiwa.+