Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na itatukia kwamba yeyote anayeikimbia sauti ya kitu kinachotia hofu ataanguka katika shimo, na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.+ Kwa maana milango ya maji ambayo iko juu itafunguliwa,+ na misingi ya nchi itatikisika.+

  • Isaya 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nanyi mkasema: “Hapana, bali tutakimbia juu ya farasi!”+ Ndiyo sababu mtakimbia. “Nasi tutapanda juu ya farasi wepesi!”+ Ndiyo sababu wale wanaowafuatilia ninyi watajionyesha kuwa wepesi.+

  • Amosi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mahali pa kukimbilia pataangamia kutoka kwa yule aliye mwepesi,+ wala hakuna yeyote mwenye nguvu atakayeimarisha nguvu zake, wala hakuna mwanamume yeyote mwenye nguvu ambaye ataiponya nafsi yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki