18 Na itatukia kwamba yeyote anayeikimbia sauti ya kitu kinachotia hofu ataanguka katika shimo, na yeyote anayetoka ndani ya shimo atakamatwa katika mtego.+ Kwa maana milango ya maji ambayo iko juu itafunguliwa,+ na misingi ya nchi itatikisika.+
16 Nanyi mkasema: “Hapana, bali tutakimbia juu ya farasi!”+ Ndiyo sababu mtakimbia. “Nasi tutapanda juu ya farasi wepesi!”+ Ndiyo sababu wale wanaowafuatilia ninyi watajionyesha kuwa wepesi.+
14 Na mahali pa kukimbilia pataangamia kutoka kwa yule aliye mwepesi,+ wala hakuna yeyote mwenye nguvu atakayeimarisha nguvu zake, wala hakuna mwanamume yeyote mwenye nguvu ambaye ataiponya nafsi yake.+