Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+ Zaburi 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka,+Nayo misingi ya milima ikasukasuka,+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+ Zaburi 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sakafu za vijito vya maji zikaonekana,+Na misingi ya nchi yenye kuzaa ikafunuliwa,+Kwa kemeo lako, Ee Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yako.+
22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+
7 Na dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka,+Nayo misingi ya milima ikasukasuka,+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
15 Na sakafu za vijito vya maji zikaonekana,+Na misingi ya nchi yenye kuzaa ikafunuliwa,+Kwa kemeo lako, Ee Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yako.+