2 Samweli 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sakafu za vijito vya bahari zikaonekana,+Misingi ya nchi yenye kuzaa+ ikafunuliwa,Kwa kemeo la Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yake.+ Zaburi 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+
16 Na sakafu za vijito vya bahari zikaonekana,+Misingi ya nchi yenye kuzaa+ ikafunuliwa,Kwa kemeo la Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yake.+
8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+