Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Zaburi 106:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo akaikemea Bahari Nyekundu, nayo ikakauka hatua kwa hatua;+

      Naye akawatembeza kupita katika kilindi cha maji kana kwamba ni nyikani;+

  • Zaburi 114:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Bahari iliona na kukimbia;+

      Yordani nao ulianza kurudi nyuma.+

  • Nahumu 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Anakemea bahari,+ naye huikausha; huikausha mito yote.+

      Bashani na Karmeli zimekauka,+ na ua la Lebanoni limekauka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki