Ayubu 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+ Zaburi 104:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yakaanza kukimbia ulipoyakemea;+Yakakimbia kwa wasiwasi mkubwa yaliposikia sauti ya mngurumo wako— Zaburi 107:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Huituliza dhoruba ya upepo ikawa kimya,+Hivi kwamba mawimbi ya bahari hukaa kimya.+
11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+
7 Yakaanza kukimbia ulipoyakemea;+Yakakimbia kwa wasiwasi mkubwa yaliposikia sauti ya mngurumo wako— Zaburi 107:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Huituliza dhoruba ya upepo ikawa kimya,+Hivi kwamba mawimbi ya bahari hukaa kimya.+