Nehemia 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+ Zaburi 77:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Njia yako ilikuwa baharini,+Nalo pito lako lilikuwa katika maji mengi;Nazo nyayo zako hazikupata kujulikana. Zaburi 136:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na aliyefanya Israeli wapite katikati yake:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Isaya 63:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+
11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+
19 Njia yako ilikuwa baharini,+Nalo pito lako lilikuwa katika maji mengi;Nazo nyayo zako hazikupata kujulikana.
14 Na aliyefanya Israeli wapite katikati yake:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
13 Yeye aliyewatembeza kupitia katikati ya maji yenye kututumuka hivi kwamba, kama farasi nyikani, hawakujikwaa?+