Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni Mwenye Kuinua mtu wa hali ya chini kutoka mavumbini;+

      Humwinua maskini kutoka katika shimo la majivu,+

      Ili awafanye wakae pamoja na watu wenye vyeo; naye huwapa urithi+ wa kiti cha ufalme cha utukufu.+

      Kwa maana nguzo za dunia+ ni za Yehova,

      Naye huiweka nchi yenye kuzaa juu ya hizo.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Iweni na maumivu makali kwa sababu yake, enyi nyote watu wa dunia!

      Pia nchi yenye kuzaa imefanywa imara:

      Kamwe haitatikiswa.+

  • Zaburi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+

      Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+

  • Zaburi 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wale wote walio wa dunia na wamwogope Yehova.+

      Wote wanaokaa katika nchi yenye kuzaa na wamhofu.+

  • Zaburi 77:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sauti ya mngurumo wako ilikuwa kama magurudumu ya gari;+

      Umeme umetia nuru nchi yenye kuzaa;+

      Dunia ikatetemeka na kuanza kutikisika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki