Zaburi 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika;+Misingi ya milima ikasukasukaNayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
7 Kisha dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika;+Misingi ya milima ikasukasukaNayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+