-
2 Samweli 22:8-16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+
Misingi ya mbingu ikasukasuka+
Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
9 Moshi ulipanda kutoka katika mianzi ya pua yake,
Na moto unaoteketeza kabisa ukatoka kinywani mwake;+
Makaa ya mawe yanayowaka moto mkali yakatoka kwake.
11 Alipanda juu ya kerubi,+ akaja akiruka.
Alionekana juu ya mabawa ya kiumbe wa roho.*+
13 Kutoka katika mwangaza ulio mbele zake makaa ya mawe yenye moto mkali yaliwaka.
-