-
Zaburi 18:7-12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika;+
Misingi ya milima ikasukasuka
Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
8 Moshi ulipanda kutoka katika mianzi ya pua yake,
Na moto unaoteketeza kabisa ukatoka kinywani mwake;+
Makaa ya mawe yanayowaka moto mkali yakatoka kwake.
10 Alipanda juu ya kerubi, akaja akiruka.+
Akashuka chini kwa ghafla juu ya mabawa ya kiumbe wa roho.*+
12 Kutoka katika mwangaza ulio mbele zake
Mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto yakapasua mawingu.
-