Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+ 2 Samweli 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+Misingi ya mbingu ikasukasuka+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+
18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+
8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+Misingi ya mbingu ikasukasuka+Nayo ikatikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+