Kumbukumbu la Torati 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nitaongeza misiba juu yao;+Mishale yangu nitaitumia juu yao.+ 1 Wafalme 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+
30 Na wale waliobaki wakakimbia mpaka Afeki,+ katika jiji; na ukuta ukaanguka juu ya watu 27,000 waliokuwa wamebaki.+ Naye Ben-hadadi akakimbia,+ mwishowe akafika jijini, akaingia katika chumba cha ndani kabisa.+