Zaburi 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye atajitayarishia silaha za kifo;+Mishale yake ataifanya kuwa yenye kuwaka moto.+ Ezekieli 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “ ‘Nitakapotuma ile mishale yenye madhara ya njaa juu yao,+ itakayokuwa ya uharibifu, mishale ambayo nitatuma ili kuwaharibu ninyi,+ hata njaa nitaiongeza juu yenu nami nitazivunja fimbo zenu ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa kuzizunguka.+
16 “ ‘Nitakapotuma ile mishale yenye madhara ya njaa juu yao,+ itakayokuwa ya uharibifu, mishale ambayo nitatuma ili kuwaharibu ninyi,+ hata njaa nitaiongeza juu yenu nami nitazivunja fimbo zenu ambazo mikate ya mviringo huning’inizwa kuzizunguka.+