Kumbukumbu la Torati 32:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,+Nao upanga wangu utakula nyama,+Kwa damu ya waliouawa na mateka,Kwa vichwa vya viongozi wa adui.’+ Zaburi 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mishale yako ni mikali—vikundi vya watu vinaendelea kuanguka chini yako+—Katika moyo wa adui za mfalme.+ Zaburi 64:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Mungu atawapiga ghafula kwa mshale.+Wamepata majeraha,+
42 Nitailewesha mishale yangu kwa damu,+Nao upanga wangu utakula nyama,+Kwa damu ya waliouawa na mateka,Kwa vichwa vya viongozi wa adui.’+
5 Mishale yako ni mikali—vikundi vya watu vinaendelea kuanguka chini yako+—Katika moyo wa adui za mfalme.+