1 Wafalme 22:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari+ wake: “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.” 1 Mambo ya Nyakati 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli; na mwishowe wanaopiga mishale kwa kutumia upinde wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza.+
34 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari+ wake: “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.”
3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli; na mwishowe wanaopiga mishale kwa kutumia upinde wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza.+