Isaya 30:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Badala yake, mlisema: “Hapana, tutakimbia kwa farasi!” Basi mtakimbia. “Nasi tutapanda farasi wenye mbio!”+ Kwa hiyo wale wanaowafuatia watakuwa na mbio.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 30:16 ip-1 307-308 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 30:16 Unabii wa Isaya 1, kur. 307-308
16 Badala yake, mlisema: “Hapana, tutakimbia kwa farasi!” Basi mtakimbia. “Nasi tutapanda farasi wenye mbio!”+ Kwa hiyo wale wanaowafuatia watakuwa na mbio.+