Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 52:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+

      Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+

  • Zaburi 55:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+

      Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+

      Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+

      Lakini ni panga zilizochomolewa.+

  • Zaburi 64:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+

      Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+

  • Methali 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kama rungu ya vita na upanga na mshale mkali ndivyo alivyo mtu anayemshuhudia mwenzake kwa uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki