Hesabu 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.” 1 Samweli 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.
21 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atauliza+ kwa ajili yake kulingana na hukumu ya Urimu+ mbele za Yehova. Kwa agizo lake watatoka nje na kwa agizo lake wataingia ndani, yeye na wana wote wa Israeli pamoja naye na kusanyiko lote.”
7 Hivyo Daudi akamwambia Abiathari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete hapa efodi.”+ Naye Abiathari akamletea Daudi ile efodi.