1 Samweli 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akauliza+ Yehova kwa ajili yake; akampa vyakula,+ akampa upanga+ wa Goliathi yule Mfilisti.” 1 Samweli 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+
6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+