Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+ Zaburi 52:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umependa yaliyo mabaya kuliko yaliyo mema,+Kusema uwongo kuliko kusema yaliyo ya uadilifu.+ Sela. Methali 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+ Methali 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kama rungu ya vita na upanga na mshale mkali ndivyo alivyo mtu anayemshuhudia mwenzake kwa uwongo.+ Methali 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mahali ambapo mtawala anasikiliza maneno ya uwongo, wote wanaomhudumia watakuwa waovu.+ Ezekieli 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wachongezi wanaofanya hivyo waziwazi wamo ndani yako, kwa kusudi la kumwaga damu;+ nao wamekula juu ya milima ndani yako.+ Wameendeleza mwenendo mpotovu ndani yako.+ Mathayo 26:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
18 Kama rungu ya vita na upanga na mshale mkali ndivyo alivyo mtu anayemshuhudia mwenzake kwa uwongo.+
9 Wachongezi wanaofanya hivyo waziwazi wamo ndani yako, kwa kusudi la kumwaga damu;+ nao wamekula juu ya milima ndani yako.+ Wameendeleza mwenendo mpotovu ndani yako.+
59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+