Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+

  • Zaburi 52:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+

      Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+

  • Zaburi 52:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Umependa yaliyo mabaya kuliko yaliyo mema,+

      Kusema uwongo kuliko kusema yaliyo ya uadilifu.+ Sela.

  • Methali 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+

  • Methali 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kama rungu ya vita na upanga na mshale mkali ndivyo alivyo mtu anayemshuhudia mwenzake kwa uwongo.+

  • Methali 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mahali ambapo mtawala anasikiliza maneno ya uwongo, wote wanaomhudumia watakuwa waovu.+

  • Ezekieli 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wachongezi wanaofanya hivyo waziwazi wamo ndani yako, kwa kusudi la kumwaga damu;+ nao wamekula juu ya milima ndani yako.+ Wameendeleza mwenendo mpotovu ndani yako.+

  • Mathayo 26:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki