Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Wala usimshuhudie mwenzako uwongo.+ Kumbukumbu la Torati 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa shahidi anayepanga hila ya jeuri atainuka juu ya mtu na kuleta shtaka la maasi juu yake,+ Zaburi 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+Wala hakumshutumu rafiki yake.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
3 Yeye hakuchongea kwa ulimi wake.+Hakumfanyia mwenzake jambo lolote baya,+Wala hakumshutumu rafiki yake.+