Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Kutoka 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Usieneze habari isiyo ya kweli.+ Usishirikiane na mtu mwovu kwa kuwa shahidi anayepanga jeuri.+ Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ikiwa shahidi anayepanga hila ya jeuri atainuka juu ya mtu na kuleta shtaka la maasi juu yake,+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.