Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+

  • Kutoka 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Usieneze habari isiyo ya kweli.+ Usishirikiane na mtu mwovu kwa kuwa shahidi anayepanga jeuri.+

  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ikiwa shahidi anayepanga hila ya jeuri atainuka juu ya mtu na kuleta shtaka la maasi juu yake,+

  • Methali 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+

  • Methali 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki