Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • Wagalatia 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,

  • Yakobo 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ikiwa mna wivu+ mkali na ugomvi+ katika mioyo yenu, msiwe mkijigamba+ na kusema uwongo juu ya ile kweli.+

  • 3 Yohana 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hiyo ndiyo sababu, nikija, nitakumbusha matendo yake ambayo anaendelea kufanya,+ akipiga porojo juu yetu kwa maneno maovu.+ Pia, akiwa hatosheki na mambo haya, yeye mwenyewe pia hawapokei akina ndugu+ kwa heshima, na wale wanaotaka kuwapokea+ yeye hujaribu kuwazuia+ na huwatupa nje+ ya kutaniko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki