Kumbukumbu la Torati 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na waamuzi watatafuta kabisa,+ na ikiwa shahidi huyo ni shahidi wa uwongo naye ameleta shtaka la uwongo juu ya ndugu yake, Methali 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+ Mathayo 26:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+ Matendo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo kwa siri wakashawishi watu kusema:+ “Tumemsikia akisema maneno ya makufuru+ juu ya Musa na Mungu.” Ufunuo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+
18 Na waamuzi watatafuta kabisa,+ na ikiwa shahidi huyo ni shahidi wa uwongo naye ameleta shtaka la uwongo juu ya ndugu yake,
59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+
11 Ndipo kwa siri wakashawishi watu kusema:+ “Tumemsikia akisema maneno ya makufuru+ juu ya Musa na Mungu.”
10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+