Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na waamuzi watatafuta kabisa,+ na ikiwa shahidi huyo ni shahidi wa uwongo naye ameleta shtaka la uwongo juu ya ndugu yake,

  • Methali 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo hataponyoka.+

  • Mathayo 26:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+

  • Matendo 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo kwa siri wakashawishi watu kusema:+ “Tumemsikia akisema maneno ya makufuru+ juu ya Musa na Mungu.”

  • Ufunuo 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema:

      “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki