Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi nikamshika suria wangu, nikamkatakata vipande na kumpeleka katika kila shamba la urithi wa Israeli,+ kwa sababu walikuwa wametenda mwenendo mpotovu+ na upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.+

  • Zaburi 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ambao mikononi mwao wana mwenendo mpotovu,+

      Na ambao mkono wao wa kuume umejaa rushwa.+

  • Methali 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+

  • Yeremia 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 matendo yako ya uzinzi+ na milio yako,+ mwenendo wako mpotovu katika ukahaba. Juu ya vilima, katika mashamba, nimeyaona machukizo yako.+ Ole wako, Ee Yerusalemu! Huwezi kuwa safi+—baada ya muda gani zaidi?”+

  • Ezekieli 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na, tazama! hakika nitaunyoosha mkono wangu juu yako+ nami nitapunguza posho lako+ na kukutia katika tamaa ya nafsi+ ya wanawake wanaokuchukia,+ binti za Wafilisti,+ wanawake waliofedheheshwa kwa sababu ya njia yako kuhusiana na mwenendo mpotovu.+

  • 2 Petro 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 naye alimkomboa Loti mwadilifu,+ aliyetaabishwa sana na kule kujitia mno katika mwenendo mpotovu kwa watu wanaokaidi sheria+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki