6 Basi nikamshika suria wangu, nikamkatakata vipande na kumpeleka katika kila shamba la urithi wa Israeli,+ kwa sababu walikuwa wametenda mwenendo mpotovu+ na upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.+
27 matendo yako ya uzinzi+ na milio yako,+ mwenendo wako mpotovu katika ukahaba. Juu ya vilima, katika mashamba, nimeyaona machukizo yako.+ Ole wako, Ee Yerusalemu! Huwezi kuwa safi+—baada ya muda gani zaidi?”+
27 Na, tazama! hakika nitaunyoosha mkono wangu juu yako+ nami nitapunguza posho lako+ na kukutia katika tamaa ya nafsi+ ya wanawake wanaokuchukia,+ binti za Wafilisti,+ wanawake waliofedheheshwa kwa sababu ya njia yako kuhusiana na mwenendo mpotovu.+