14 “‘Na mwanamume akimchukua mwanamke pamoja na mama yake, ni mwenendo mpotovu.+ Watamteketeza yeye na wao katika moto,+ ili mwenendo mpotovu+ usiendelee katikati yenu.
3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+