Mambo ya Walawi 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Uchi wa mwanamke na binti yake usiufunue.+ Binti ya mwana wake na binti ya binti yake usimchukue ili kuufunua uchi wake. Wao wana uhusiano wa damu. Ni mwenendo mpotovu.+ Kumbukumbu la Torati 27:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mama-mkwe wake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
17 “‘Uchi wa mwanamke na binti yake usiufunue.+ Binti ya mwana wake na binti ya binti yake usimchukue ili kuufunua uchi wake. Wao wana uhusiano wa damu. Ni mwenendo mpotovu.+