Mambo ya Walawi 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kahaba+ au mwanamke aliyenajisiwa hawatamwoa; na mwanamke aliyetalikiwa+ kutoka kwa mume wake hawatamwoa,+ kwa sababu yeye ni mtakatifu kwa Mungu wake. Kumbukumbu la Torati 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+ Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
7 Kahaba+ au mwanamke aliyenajisiwa hawatamwoa; na mwanamke aliyetalikiwa+ kutoka kwa mume wake hawatamwoa,+ kwa sababu yeye ni mtakatifu kwa Mungu wake.
17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+