Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kahaba+ au mwanamke aliyenajisiwa hawatamwoa; na mwanamke aliyetalikiwa+ kutoka kwa mume wake hawatamwoa,+ kwa sababu yeye ni mtakatifu kwa Mungu wake.

  • Kumbukumbu la Torati 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki