24 Na hata mwanamume kahaba wa hekaluni alikuwa katika nchi.+ Walitenda kulingana na machukizo yote ya mataifa ambao Yehova alikuwa amewafukuza mbele ya wana wa Israeli.+
7 Tena akazibomoa nyumba za wanaume makahaba wa hekaluni+ waliokuwa katika nyumba ya Yehova, mahali ambapo wanawake walikuwa wakifuma vihekalu vya mahema kwa ajili ya ule mti mtakatifu.