24 Na hata mwanamume kahaba wa hekaluni alikuwa katika nchi.+ Walitenda kulingana na machukizo yote ya mataifa ambao Yehova alikuwa amewafukuza mbele ya wana wa Israeli.+
9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+