Kumbukumbu la Torati 23:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+ 1 Wafalme 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akawaondoa wanaume makahaba wa hekaluni kutoka katika nchi,+ akaondoa sanamu zote za mavi+ ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+ 1 Wafalme 22:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye akaondoa katika nchi wale wanaume makahaba+ waliokuwa wamebaki katika siku za Asa baba yake.+
17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+
12 Basi akawaondoa wanaume makahaba wa hekaluni kutoka katika nchi,+ akaondoa sanamu zote za mavi+ ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+
46 Naye akaondoa katika nchi wale wanaume makahaba+ waliokuwa wamebaki katika siku za Asa baba yake.+