1 Wafalme 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kulikuwa pia na wanaume makahaba wa hekaluni katika nchi.+ Watu walitenda mambo yote yenye kuchukiza yaliyofanywa na mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.
24 Kulikuwa pia na wanaume makahaba wa hekaluni katika nchi.+ Watu walitenda mambo yote yenye kuchukiza yaliyofanywa na mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya Waisraeli.