Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Binti yeyote wa Israeli hapaswi kuwa kahaba wa hekaluni, + wala mwana yeyote wa Israeli hapaswi kuwa kahaba wa hekaluni.+ 18 Hampaswi kuleta mapato ya mwanamke kahaba au mapato* ya mwanamume kahaba* katika nyumba ya Yehova Mungu wenu ili kutimiza nadhiri, kwa sababu vyote viwili ni chukizo kwa Yehova Mungu wenu.

  • 1 Wafalme 15:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Asa alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama Daudi babu yake. 12 Aliwafukuza wanaume makahaba wa hekaluni kutoka nchini+ na kuondoa sanamu zote zenye kuchukiza* ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+

  • 1 Wafalme 22:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Pia aliwaondoa kabisa nchini wanaume wote makahaba wa hekaluni+ waliobaki katika siku za Asa baba yake.+

  • 2 Wafalme 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Akabomoa pia nyumba za wanaume makahaba wa hekaluni+ zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, mahali ambapo wanawake walikuwa wakifuma mahema ya ibada ya mti mtakatifu.*

  • Hosea 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sitawafanya mabinti wenu wawajibike kwa sababu ya ukahaba* wao,

      Wala mabinti wakwe zenu kwa sababu ya uzinzi wao.

      Kwa maana wanaume huwatafuta makahaba

      Nao hutoa dhabihu pamoja na makahaba wa hekaluni;

      Watu kama hao wasio na uelewaji+ wataangamia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki