Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14:2-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Asa alitenda yaliyokuwa mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wake. 3 Aliondoa madhabahu za kigeni+ na mahali pa juu, akazivunjavunja nguzo takatifu,+ na kuikata miti mitakatifu.*+ 4 Zaidi ya hayo, aliwaambia watu wa Yuda wamtafute Yehova Mungu wa mababu zao na kushika Sheria na amri. 5 Kwa hiyo aliondoa mahali pa juu na vinara vya uvumba+ katika majiji yote ya Yuda, na chini ya utawala wake ufalme uliendelea kuwa bila usumbufu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Asa akamlilia Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, haijalishi kwako ikiwa wale unaowasaidia ni wengi au hawana nguvu.+ Tusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na umati huu.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu anayeweza kufa akushinde.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini mahali pa juu hapakuondolewa+ Israeli.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa kamili* maisha yake yote.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki