Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na watu wa Yuda walikuwa wakitenda maovu machoni pa Yehova,+ na kwa dhambi zao walimkasirisha kuliko walivyofanya mababu zao.+ 23 Pia waliendelea kujijengea mahali pa juu, nguzo takatifu, na miti mitakatifu*+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+

  • 2 Wafalme 14:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, lakini si kama Daudi+ babu yake. Alifanya mambo yote kama Yehoashi baba yake.+ 4 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

  • 2 Wafalme 23:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yosia pia aliondoa nyumba zote za ibada zilizokuwa mahali pa juu katika majiji ya Samaria,+ ambazo wafalme wa Israeli walijenga na kumkasirisha Mungu, akazitendea kama alivyozitendea zile zilizokuwa Betheli.+ 20 Basi makuhani wote wa mahali pa juu waliokuwa mahali hapo akawatoa dhabihu juu ya madhabahu hizo, naye akateketeza mifupa ya wanadamu juu yake.+ Kisha akarudi Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki