-
Kumbukumbu la Torati 12:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Mnapaswa kuharibu sehemu zote ambazo watu wa mataifa mtakaomiliki nchi yao wamekuwa wakiabudia miungu yao,+ iwe ni juu ya milima mirefu au kwenye vilima au chini ya mti wowote wenye majani mengi. 3 Mnapaswa kubomoa madhabahu zao, kuvunjavunja nguzo zao takatifu,+ kuteketeza kwa moto miti yao mitakatifu,* na kukatakata sanamu za kuchongwa za miungu yao,+ na kuondoa kabisa majina ya miungu yao kutoka sehemu hizo.+
-
-
Yeremia 2:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”
-