Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mnapaswa kuharibu sehemu zote ambazo watu wa mataifa mtakaomiliki nchi yao wamekuwa wakiabudia miungu yao,+ iwe ni juu ya milima mirefu au kwenye vilima au chini ya mti wowote wenye majani mengi. 3 Mnapaswa kubomoa madhabahu zao, kuvunjavunja nguzo zao takatifu,+ kuteketeza kwa moto miti yao mitakatifu,* na kukatakata sanamu za kuchongwa za miungu yao,+ na kuondoa kabisa majina ya miungu yao kutoka sehemu hizo.+

  • Isaya 57:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wale wanaowaka tamaa kati ya miti mikubwa,+

      Chini ya kila mti wenye majani mengi,+

      Wanaowachinja watoto kwenye mabonde,*+

      Chini ya mipasuko ya majabali?

  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ‘Kwa maana zamani niliivunja nira yako+

      Na kuzikata pingu zako.

      Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,”

      Kwa maana juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi+

      Ulilala ukiwa umejinyoosha, ukifanya ukahaba.+

  • Hosea 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima,+

      Na juu ya vilima wanafukiza moshi wa dhabihu,

      Chini ya mialoni na milubna na kila mti mkubwa,+

      Kwa sababu vivuli vyake ni vizuri.

      Ndiyo sababu mabinti wenu wanafanya ukahaba*

      Na mabinti wakwe zenu wanafanya uzinzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki