-
2 Mambo ya Nyakati 34:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Pia, walibomoa madhabahu za Mabaali mbele yake, naye akavikatakata vinara vya uvumba vilivyokuwa juu ya madhabahu hizo. Pia alivunja vipandevipande miti mitakatifu,* sanamu za kuchongwa, na sanamu za chuma,* akazipondaponda zikawa ungaunga na kuunyunyiza juu ya makaburi ya wale waliokuwa wakizitolea dhabihu.+
-