1 Wafalme 15:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Asa alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama Daudi babu yake. 12 Aliwafukuza wanaume makahaba wa hekaluni kutoka nchini+ na kuondoa sanamu zote zenye kuchukiza* ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+
11 Asa alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama Daudi babu yake. 12 Aliwafukuza wanaume makahaba wa hekaluni kutoka nchini+ na kuondoa sanamu zote zenye kuchukiza* ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+