Mambo ya Walawi 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Mwanamume akimwoa mwanamke na afanye ngono na mama ya mwanamke huyo, ni tendo chafu linalochukiza.*+ Anapaswa kuchomwa moto+ pamoja na wanawake hao, ili mwenendo huo mchafu unaochukiza usiendelee miongoni mwenu.
14 “‘Mwanamume akimwoa mwanamke na afanye ngono na mama ya mwanamke huyo, ni tendo chafu linalochukiza.*+ Anapaswa kuchomwa moto+ pamoja na wanawake hao, ili mwenendo huo mchafu unaochukiza usiendelee miongoni mwenu.