Mambo ya Walawi 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usifanye ngono na mwanamke na binti yake.+ Usimchukue binti ya mwana wa mwanamke huyo na binti ya binti yake ili kufanya nao ngono. Wao ni watu wake wa karibu wa ukoo; hilo ni tendo chafu linalochukiza.* Kumbukumbu la Torati 27:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mama mkwe wake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
17 “‘Usifanye ngono na mwanamke na binti yake.+ Usimchukue binti ya mwana wa mwanamke huyo na binti ya binti yake ili kufanya nao ngono. Wao ni watu wake wa karibu wa ukoo; hilo ni tendo chafu linalochukiza.*