Mambo ya Walawi 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Mwanamume akimwoa mwanamke na afanye ngono na mama ya mwanamke huyo, ni tendo chafu linalochukiza.*+ Anapaswa kuchomwa moto+ pamoja na wanawake hao, ili mwenendo huo mchafu unaochukiza usiendelee miongoni mwenu. Kumbukumbu la Torati 27:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mama mkwe wake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
14 “‘Mwanamume akimwoa mwanamke na afanye ngono na mama ya mwanamke huyo, ni tendo chafu linalochukiza.*+ Anapaswa kuchomwa moto+ pamoja na wanawake hao, ili mwenendo huo mchafu unaochukiza usiendelee miongoni mwenu.