17 “‘Usifanye ngono na mwanamke na binti yake.+ Usimchukue binti ya mwana wa mwanamke huyo na binti ya binti yake ili kufanya nao ngono. Wao ni watu wake wa karibu wa ukoo; hilo ni tendo chafu linalochukiza.*
14 “‘Mwanamume akimwoa mwanamke na afanye ngono na mama ya mwanamke huyo, ni tendo chafu linalochukiza.*+ Anapaswa kuchomwa moto+ pamoja na wanawake hao, ili mwenendo huo mchafu unaochukiza usiendelee miongoni mwenu.