Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na mwanamume akimchukua mwanamke pamoja na mama yake, ni mwenendo mpotovu.+ Watamteketeza yeye na wao katika moto,+ ili mwenendo mpotovu+ usiendelee katikati yenu.

  • Methali 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwenendo mpotovu wa upumbavu ni dhambi,+ na mwenye dhihaka ni chukizo kwa wanadamu.+

  • Yeremia 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Yehova akasema: “Kwa sababu wameiacha sheria yangu ambayo nilitoa iwe mbele yao, na kwa sababu hawakuitii sauti yangu wala kutembea ndani yake,+

  • Waroma 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki