14 “‘Na mwanamume akimchukua mwanamke pamoja na mama yake, ni mwenendo mpotovu.+ Watamteketeza yeye na wao katika moto,+ ili mwenendo mpotovu+ usiendelee katikati yenu.
32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.